Monday, September 2, 2013

Arsenal waifunga watani wao wa jadi wa london Tottenham kwa goli moja kwa bila



 2Septemba, 2013 
o ya kutofungwa na Tottenham katika uwanja wao wa nyumbani baada ya kuwazaba vijana wa Andre Villas-Boas bao moja kwa sufuri.
Arsenal waifunga Tottenham
Tangu mwaka wa 1993 Tottenham imewahi kuifunga Arsenal nyumbani mara moja tu.
Kwa kocha huyo mreno ni siku ya masikitiko kwani ndio mechi yake ya kwanza kwa timu yake kupoteza tangu msimu huu uanze.
Ilikuwa ni katika dakika ya 23 wakati Olivier Giroud alipofunga baada ya kupewa pasi na Theo Walcott .
Katika dakika za lala salama za kipindi cha pili licha ya Tottenham kujenga hema katika ngome ya Arsenal lakini kipa Wojciech Szczesny alifanya kazi ya ziada kwa kuokoa mkwaju wa Jermain Defoe hivyo kuwanyima vijana wa Villas-Boas nafasi ya kulikomboa bao hilo.
Ushindi huu unamaanzisha kuwa vijana wa Arsene Wenger wamepanda hadi nafasi ya nne katika jedwali la ligi hiyo ya Uingereza.

Orodha ya Wachezaji

Arsenal
01 Szczesny
04 Mertesacker
06 Koscielny
25 Jenkinson
28 Gibbs
07 Rosicky Booked (Monreal - 79' )
10 Wilshere (Flamini - 43' Booked )
14 Walcott (Sagna - 90' )
16 Ramsey
19 Cazorla
12 Giroud
Wachezaji wa akiba
21 Fabianski
03 Sagna
17 Monreal
20 Flamini
44 Gnabry
58 Gedion Zelalem
22 Sanogo
Tottenham Hotspur
25 Lloris
02 Walker
03 Rose
05 Vertonghen
20 Dawson
08 Paulinho
15 Capoue (Sandro - 75' )
17 Townsend (Lamela - 75' )
19 Dembele (Defoe - 69' Booked )
21 Chadli
09 Soldado Booked
Wachezaji wa akiba
24 Friedel
16 Naughton
14 Holtby
22 Sigurdsson
30 Sandro
33 Lamela
18 Defo

No comments:

Post a Comment