Monday, September 2, 2013

Man United wafungwa na watani wa jadi kuwndeleza mwanzo wa kusua sua wa man united na Livepool



 1 Septemba, 2013 
Liverpool waichapa Manchester United
Liverpool imejiweka katika nafasi nzuri sana kwenye ligi ya Uingereza baada ya kuwazima mabingwa wa ligi hiyo Manchester United kwa bao moja kwa bila katika uwanja wa Anfield.
Hii ni mara ya kwanza kabisa kwa Liverpool kuwa katika nasafi kama hii mwanzo mwanzo wa ligi tangu mwaka 1995.
Pia Liverpool inakuwa timu ya kwanza tangu mwaka 2011 kucheza mechi tatu mfululizo katika ligi hiyo bila ya kufungwa goli lolote.
Ilikuwa fursa nzuri kwa kuhitimisha miaka 24 tangu kuzaliwa kwa kuipatia Liverpool bao hilo la pekee na la ushindi.
Mwamba huyo alifunga bao hilo kwa ustadi mkubwa kwani alifunga kwa kichwa safi ambapo kipa wa Man U De Gea alishtukia wavu ukitikisika.
Ni mara ya tatu mfululizo kwa Sturridge kuivungia timu yake tangu ligi hii ya Uingereza ianze.
Daniel Sturridge mfunganji wa Liverpool
Kushindwa kwa Manchester United inachafua rekodi ya kocha wao mpya David Moyes kwani hata akiwa mkufunzi wa Everton hajawahi kuingozi timu yake kuifunga Liverpool katika uwanja wa Anfield.
Hata Robin van Persie alikuwa na siku mbaya kwani alikuwa na wakati mgumu kumfunga kipa mpya wa Liverpool Simon Mignolet, ambaye alizima ndoto ya Man U ya kupata bao.
Tangu mlinda lango huyo Mignolet, kuhamia Anfield kutoka Sunderland kwa kima cha £9m hajafungwa bao hata moja.

Orodha ya wachezaji

Liverpool
22 Mignolet
02 Johnson (Wisdom - 79' )
03 Jose Enrique
05 Agger
37 Skrtel
08 Gerrard
09 Aspas Booked (Sterling - 60' )
10 Coutinho (Alberto - 84' )
14 Henderson
21 Lucas Booked
15 Sturridge
Wachezaji wa akiba
01 Jones
34 Kelly
38 Flanagan
47 Wisdom
06 Alberto
31 Sterling
33 Ibe
Manchester United
01 De Gea
03 Evra
04 Jones (Valencia - 37' )
05 Ferdinand
15 Vidic
11 Giggs (Hernandez - 73' )
16 Carrick Booked
18 Young Booked (Nani - 63' )
19 Welbeck
23 Cleverley Booked
20 Van Persie Booked
Wachezaji wa akiba
13 Lindegaard
12 Smalling
28 Buttner
08 Anderson
17 Nani
25 Valencia
14 Hernandez

No comments:

Post a Comment