Usalama kwanza, YES.. Marekani hawana utani kabisa na Usalama wa Rais wao, zinashuka ndege kila siku pamoja na makundi ya watu wa Usalama ili kuhakikisha mpaka Rais Obama anatua hali inakuwa shwari japo kumekuwa na mashambulio mengi sana yanayohusiana na matukio ya Ugaidi.
Imetua ndege kubwa ya Kijeshi na vifaa vingine vingi zaidi.
No comments:
Post a Comment