Friday, July 17, 2015

Said Fella achukua fomu za kuwania Udiwani wa Kilungule,...






 
Mkurugenzi wa Yamoto Band na Wanaume Family, Said Fella aka Mkubwa Fella alionesha mapema kabisa leo July 15 amechukua fomu ya kugombea udiwani wa katika mtaa wa Kilungule, Wilaya ya Temeke Dar es Salaam.
Said Fella ameamua kuchukua fomu hiyo na kugombea nafasi hiyo ili aweze kutatua kero za wakazi wa kata ya Kilungule na kuleta maendeleo katika Kata hiyo.
Nimeamua kuchukua nafasi hii ili kutatua kero za kata yangu, hapa kuna shida ya maji na barara naamini nikiwa Diwana nitaweza kuonana na wakubwa wa nchi uso kwa macho na kuweza kuelezea shida za kata yangu, chamsingi ni kuleta maendeleoSaid Fella.
 
 
 

.

.

No comments:

Post a Comment